AJIRA KADA MBALIMBALI ZA AFYA NA UALIMU, JESHI - 2025


RATIBA YA USAILI WA KADA ZA UALIMU

Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwatangazia waombaji kazi wote wa Kada za Ualimu kuwa,usaili  utafanyika kuanzia terehe 14 Januari, 2025 mpaka tarehe 24 Februari, 2025 kama inavyoonekana kwenye ratiba hii.

CLICK HERE ðŸ‘‰RATIBA YA USAILI KADA ZA UALIMU

________________________________________________________


TAARIFA KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU

Kupitia tangazo hili, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwatangazia waombaji kazi wote wa Kada za Ualimu ambao usaili wao ulisitishwa kwa muda kuwa usaili huo utafanyika kuanzia terehe 14 Januari, 2025 mpaka tarehe 24 Februari, 2025. 

CLICK HERE 👉TANGAZO LA USAILI WA WALIMU


________________________________________________________













    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment